mapambano dhidi ya rushwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Rais wa Liberia awasimamisha kazi maafisa 457 wakiwemo Mawaziri, Mabalozi kwa kushindwa kutangaza mali wanazomiliki

    Monrovia, Liberia: Rais Boakai akaza misuli, Awasimamisha Kazi Maafisa 457—Wakiwemo Mawaziri, Mabalozi—Kwa Kushindwa Kutangaza Mali. Februari 13, 2025 MONROVIA - Rais Joseph Boakai Jumatano aliwasimamisha kazi zaidi ya maafisa 450 wa serikali kwa kukosa kufuata matakwa yake ya lazima ya...
  2. B

    SoC04 Utumiaji wa teknolojia ya mfumo wa data wazi(open data) kama chombo muhimu katika mapambano dhidi ya rushwa na kuimarisha utawala bora nchini Tanzania

    "Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25" Katika mapambano dhidi ya rushwa na utawala bora UTANGULIZI Mfumo wa data wazi ni mfumo ambao unaruhusu ufikiaji wa data na taarifa bila vikwazo au vizuizi. Kuna mambo kadhaa yanayowakilisha mfumo wa data wazi kama vile data inapatikana bila malipo au...
  3. SoC04 Mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi 5-25

    Rushwa imeendelea kuwa changamoto kubwa inayokwamisha maendeleo na ustawi wa jamii nchini Tanzania. Hata hivyo, kuna uhitaji mkubwa wa kufanya kazi kwa pamoja ili kutokomeza kabisa tatizo hili. Kwa kuzingatia ustawi wa jamii na uratibu sahihi wa maendeleo yake, ifuatayo ni dira ya Tanzania...
  4. F

    SoC04 Uongozi bora na mapambano dhidi ya ubadhirifu wa mali (rushwa)

    (ombeni hamadi silaa) UTANGULIZI, MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA NA UTAWALA BORA Tanzania imekuwa ikipiga hatua muhimu katika mapambano dhidi ya rushwa katika kipindi cha hivi karibuni, lakini bado kuna changamoto kubwa zinazohitaji kushughulikiwa ili kuimarisha utawala bora nchini. Kupambana na...
  5. Mapambano dhidi ya Rushwa katika Miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Samia

    Rushwa ni tatizo la Kidunia lenye madhara makubwa kwa mtu, jamii, nchi na mataifa kwa ujumla. Rushwa imetumika kupoka haki za watu kwa kumnyang’anya haki yeye aliyeistahili na kumpa yule asiyeistahili kwa sababu mwenye jukumu la kutoa haki amepokea hongo au kaahidiwa kupewa hongo ili apindishe...
  6. R

    Uliwahi kukwama kupata huduma fulani sababu ulishindwa kutoa rushwa? Ulichukua hatua gani?

    Wakuu, Wengi wamekuwa wakilalamika kuombwa rushwa ili waweze kupata huduma nzuri sehemu mbalimbali wanazokuwa wanajitaji huduma fulani, na ikitokea hujatoa basiutazungushwa sana mpaka mwenyewe uingie mfukoni kupaka mafuta vyuma ili mambo yaende. Baadhi wanasema kama hujawahi kuombwa rushwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…