Duniani kila mtu anapata wa kufanana naye na huu msemo kwangu mimi naendelea kuushikiria vizuri sana.
Sasa leo tujifunze kitu kupitia simulizi nzuri sana ya wanandoa hawa wawili ambao wote ni vipofu lakini wameonyeshana upendo wa kweli na kazi wanayoifanya inafanan na wanafanya kwa juhudi zote...
Kuna siku nilikuwa pub flan nishakura ngorondo zangu kiasi namanisha kilevi Cha bei rahisi
Kikanipa confidence ya kuongea na msichana sijui mwana mama kifupi PISI KARI
Kwakuwa nilikuwa na vitu kichwani yaani ilikuwa full confidence
Nilikuwa na uwezo wa kuongea hata na mtoto wa mboe...
Habari wadau,kuna couple ukiingalia yani haiendani kabisa na uharisia yani unakuta jama ana sura ngumu ila anamiliki chombo moja ya hatari.
Watu wengi wenye pesa hujikuta wakimiliki mademu ambao hawaendani nao kabisa yani kama we ni mchizi fulani handsome unakuta demu wa jamaa anakuelewa ile...
Mapenzi asilia nini? Ni mahusiano baina ya wapenzi yenye kufuata tamaduni fulani iliyopo kwenye jamii walipo au asili ya jamii wanayotoka wapenzi hao. Mfano, kama wapenzi watachagua kuhusiana kimapenzi kama wamasai, maana yake wataishi kwenye mapenzi Yao kwa kufuata tamaduni za kimasai.
Mapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.