mapenzi hudumisha uhusiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mambo ambayo ukiyafanya mwenza asiependeka atakuheshimu baada ya kukupuuza

    Mwenza wako anakupuuza sana pale ambapo unakuwa unajirahisisha sana kwake, unajitutumua sana ili kumfurahisha, unahatarisha uhai wako ili uthibitishe kwamba wewe ni husband material/wife material. Mwenza wako anapata kiburi , majivuno, jeuri na dharau ya kukupuuza na kukuona tambara la deki...
  2. Nawezaje kumtambua binti wa kitanga?

    Msaada tutani wakuu. Nawezaje kujua kama huyu ndiye au siye? Je wana alama yoyote kama wamakonde au? Naomba niachwe kwanza nisihojiwe kwa sasa nipo kwenye uchunguzi maalum. Tafadhali vijana wa hovyo msinambie nikamwulize mwakinyo.🤣
  3. Hatua 3 za kupenda tena na kuamini watu wengine baada ya mahusiano yako kuvunja au kusalitiwa

    Mapenzi hayana bima wala hayana formula maalumu ambayo kila mtu anaweza kuitumia na kupata matokeo yenye kufanana. Unaweza kutengana na mwenza wako saa yoyote,muda wowote bila kujali uwekezaji wako kwake.Hauwezi kudumisha mahusiano kama mwenza wako ameamua muachane.Utadumu na mwenza wako pale...
  4. Usije ukapoteza muda na rasilimali zako kutaka kumbadilisha mtu ili awe kama wewe

    Kuelekea 2025 . Kauli mbiu ni "Protect your Energy" (Linda nguvu yako). Katika maisha kuna mambo mengi Sana ambayo huleta destruction , disappointment and heart fainted. Katika mahusiano Usihangaike kumbadilisha mwanamke / mwanaume ili aendane na wewe utaumia Sana Ila wewe unaweza kubadilika...
  5. Nimeenda kumtembelea sista sasa natamani kukimbia

    Nimeenda kumtembelea sista ambaye ni mtoto wa mama mkubwa ameolewa jijini dar, sasa hapa wanaishi watu wa nne, sista, shemeji, mdogo wake shemeji ni wa kike, mtoto wa sista mdogo wamiaka mitatu na bekitatu short flani ya njombe huko imebinuka balaa...
  6. Tiwa Savage: Mfano Sex ingeondolewa kwenye mahusiano basi asilimia kubwa ya wanawake duniani tusingetoboa kabisa

    Tiwa savage "Wanawake bila Ngono hatutoboi" 🥶🥶🥶 Tiwa Savage 🇳🇬 : " mfano Sex ingeondolewa kwenye mahusiano basi asilimia kubwa ya wanawake duniani tusingetoboa kabisa. Haya wewe hapo jiulize swali ukiitoa sex (ngono) kwenye mahusiano Yako Kuna kingine ambacho mpenzi wako anafaidi? " « kwa...
  7. Moyo mpweke: Nahitaji mwanaume wa kufanya naye maisha

    Jamani nahitaji mwanaume wa kufanya naye maisha. Awe na sifa nzuri zikiwemo 1. Asiwe member wa JF 2. Awe mkristo safi 3. Mrefu mweusi asiye na kitambi. Please mwanaume mwenye sifa hizo ambaye sio member wa JF aje PM tuyajenge ..!
  8. Binti anataka kuharibu penzi la mama yake kwa baba aliyemlea tangu akiwa na miaka 7

    Leo Rafiki yangu kanisimulia👇🏻 Jamaa anasema, kuna mwamba alioa mwanamke mwenye mtoto wa miaka saba, akamlea yule binti kiroho safi kabisa na kwa upendo japo si bintiye akamsomesha inshot huduma zote jamaa akawa anatoa. Baadae yule mwanamke wakafanikiwa kupata watoto wengine, sasa yule binti...
  9. Barua ya wazi kwako nikupendaye

    Kila mara ninapofikiria kuhusu wewe, moyo wangu hujaa furaha isiyopimika na shukrani isiyo na mwisho. Wewe ni zawadi bora zaidi ambayo maisha yamenipa, na uwepo wako umeleta mwanga na matumaini ambayo sikuweza hata kuwazia hapo awali. Kama jua linavyopambazua siku, ndivyo upendo wako...
  10. Simulizi: Mpenzi wangu Amina

    Simulizi: Mpenzi wangu Amina.(01) Mwandishi: Salum Kalase Sehemu ya kwanza. Maisha ni kuchagua na mimi nilichagua kumpenda Amina katika maisha yangu yote bila kujali ni nini kitakachotokea katikati yetu. Ngoja kwanza, kwa majina naitwa Gift Mathayo Lugwisha ni mtoto wa pekee nyumbani kwetu...
  11. Nina Miaka 32, nahisi sitokuja kuoa kabisa

    https://youtu.be/Cvpm7ckpd_M?si=XZrDOzXkE3ZHrsBO Habari wadau kabla hujaanza kusoma vaa earphone hapo bonyeza huwa wimbo kenny g nimeu pin ili ukusadie kuzama kwenye kisa soma soma kisa changu Basi mwaka 2017 maeno ya kisutu posta nilikutana na dada mrembo sana tukabadilishana...
  12. Wanaume wote pitieni hapa kujifunza kitu

    Kama wewe ni mwanaume na unaamini sifa inayokutambulisha ni ndevu au uzito wa sauti ama kuwa tu na viungo vya kiume,kuna kitu kikubwa umepungukiwa. Labda nikwambie jambo jamaa yangu , umezaliwa kwa sababu na usijisahau kabisa kwenye hii dunia. Unajisahau kwa kuwa unapuuzia vitu vya msingi...
  13. Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?

    Habarini za wakati huu wandugu. Naomba niende kwenye mada kama jinsi kichwa kinavyosomeka. Binafsi nimewahi kuwa na mahusiano na wanawake wengi tofauti tofauti na binadamu tuna mapungufu yetu lakini wakati mwingine mapungufu yetu haya yanaweza kuwa unbearable kwa mwingine. Nilikutana na huyu...
  14. Wimbi la ubakaji kwa watoto limekithiri, ni nini kinasababisha?

    Mimi nimekaa najiuliza sijapata jibu mpaka sasa. Mtu una mke au wake au una Mpenzi au wapenzi Inawewezekanaje ukaenda kumuingilia mtoto mdogo wa umri wa miaka m3 Asiyejua chochote! Kwani amekukosea nini? Mbona wanawake wamejaa na wanatoa huduma ya line zote! Umekosa nini huku labda wana Jamii...
  15. Lugha ngumu katika mapenzi hudumisha uhusiano

    Kutumia lugha ngumu za mapenzi kwa wapendanao kunadumisha, kuimarisha na kusisimua katika mapenzi. Ukitumia lugha laini laini ya kuoneana aibu, mpenzi wako atakuona zoba; atakwenda kwa wahuni na watampa anachokitaka. Jitaidi kutumia lugha ngumu, katika kutaka penzi au katika mazingira ya...
  16. Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

    Wakuu, Habarini za mapumziko na heka heka za kila siku. Kuna kitu kinanitatiza mjumbe wenu; Hivi mwanamke anajisikiaje kuwa anapigiwa simu hapokei, anatumiwa meseji hajibu. Na usipomtafuta, ndo basi hamuwasiliani (yaani hadi umuanze wewe) Na muda mwingine kwenye What's App meseji zinaonekana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…