mapenzi jinsia moja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Afrika Kusini: Imamu wa kwaza Duniani kutamka hadharani kujihusisha na ushoga auliwa kwa kupigwa risasi katika shambulio la kupangwa

    Kwa Tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili.... Muhsin Hendricks, anayetambuliwa kama Imamu wa kwanza kutamka hadharani kuwa mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja duniani, amepigwa risasi na kuuawa karibu na Gqeberha, Afrika Kusini, tarehe 15 Februari 2025. Alikuwa ndani ya gari lake wakati...
  2. J

    Ruto anamuunga mkono Trump kuhusu utambuzi wa jinsia 2 pekee, Tanzania tunasemaje?

    Tanzania kuna mrundikano mkubwa wa Machawa dalili ambayo siyo ya kufurahisha Nimeona Ruto akiliambia Kanisa la Kenya kuwa Serikali yake inaungana na Rais Trump wa US katika kutambua Jenda mbili tu Mwanamume na Mwanamke kama ilivyo Kwenye Biblia.
  3. Serikali yakemea watumishi wa umma wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja

    Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi, amekemea vikali vitendo vya uhusiano ya jinsia moja miongoni mwa watumishi wa umma, akisisitiza kuwa vitendo hivyo ni kinyume na maadili, mila, na desturi za Kitanzania. Daudi ametoa kauli hiyo...
  4. Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora

    Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya...
  5. Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar. Sidhani kama kuna mtaa Dar ambao hauna mashoga, Mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma. Wa sasa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…