Kila mwanamke anapenda hela ila sio wajibu wako kama hujamuoa,
Mwanamke akikupenda:
Hakosi hela ya nauli
Hakosi hela ya saloni
Hakosi bando
Simu haiwezi kuisha chaji
Hawezi kuwa busy
Tatizo la vijana mnatumia hela kununua attention,
Mwisho unalia mbona nilimpa kila kitu.