mapenzi na pesa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Mwanadada ana masters logistics mpenzi wake ni form four failure Ila mwenye pesa anaona kama hawaendani

    Sitaki kutia chumvi yoyote, Maoni yenu ni yapi Huyu mwanadada msomi, kwa mujibu wake yeye ana elimu kubwa kuliko jamaa, ila jamaa ni form four failure mwenye pesa kuliko yeye na exposure kubwa ya biashara 👉Mwanadada anaona kama kipengele cha elimu kinapwaya 👉Now she is 27 👉Vipi amuache jamaa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Wanaume wengi sasa hivi wanavutiwa na wanawake wenye vipato

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Vijana wengi siku hizi hutafuta mabinti weñye kazi au kujishughulisha na mambo ya kiuchumi. Mabinti wasio na kazi wamejikuta katika hali ngumu sana. Tena binti awe hana kazi alafu awe maskini au atoke familia maskini hakuna rangi àmbayo ataacha kuiona. Hata...
  3. Ushimen

    Hakuna mkate mgumu kwenye chai, hakuna mwanaume anayeweza kumnyima mwanamke pesa

    Hiyo nafasi niloacha hapo juu ni kwaajili ya salam. Ipo hivi. Pamekua na mambo mob sana hapa ndani, na vijana wengi wamekua wanalalamika kwamba "kumtunza ama kumhudumia mwanamke ambae sio mke wako ni uharibifu wa pesa/noti/njaro". Nasema hivi: Ukimsikia mwanaume analalamika kuhusu...
  4. let the caged bird sings

    Kama unahisi pesa ndiyo kila kitu fikiria hii couple

    Nimeijua couple hii nyuma kidogo ya Pendamic ya Corona. Juzi wakati nimerudi kwa huu Mtaa nilishangaa kuikuta iko vile vile na pale pale nilipoikuta kwa mara ya kwanza. Makazi yao yapo kwenye kona ya kiosk( requor store) ndogo hapa Mtaani. ukiingia ama kutoka kwa hii KIOSIK kama unachochote...
  5. Cute Wife

    Amuua sugar daddy wake na kumkata dole gumba ili aibe pesa zake

    Msichana mwenye umri wa miaka 22 aitwaye Tiffany Gray ambaye ni Mshukiwa wa mauaji ya Sugar Daddy wake, Fasil Teklemariam (53), yupo rumande akishutumiwa kumuua Fasil na kisha kumkata kidole gumba ili kutumia programu yake ya benki na Uber. Tukio hilo lilitokea April mwaka huu huko Washington...
  6. Mwamuzi wa Tanzania

    Huyu mwanamke anapenda sana pesa. Kwa ufupi hakupendi

    Hakuna muda wa kuremba maneno Mwanamke yuko tayari kuishi na mwanaume hata asiyempenda ili tu atimize hitaji lake. Ukikamuliwa sana pesa hupendwi. Jamaa mmoja alikuwa kila akipata shekeli lazima ampe huyo demu wake na demu anampelekea dume lake. Siku moja rafiki wa njemba muhomgaji alimkuta...
  7. Manyanza

    Njia sita (6) wanaume wanaweza kuepuka umaskini

    Na Dada Fridah Nakazwe 1. Pata mwanamke sahihi - Sahau slay queens na wanawake wenye sura lakini akili sifuri. Pata mwanamke ambaye sio tu atasaidia maono yako lakini pia atakusukuma kufikia zaidi. Mwanamke ambaye atakupa msukumo wa kufanya kazi kwa bidii na sio mwanamke anayekufanya uwe mgumu...
  8. J

    Dr. Chris Mauki vs Kataa Ndoa 2: Feminists wanachangia kwa kiasi kikubwa watu kukataa ndoa. Kwa bahati mbaya sana asili haitakaa ibadilike!

    JamiiForums ilipata wasaa wa kuongea na Dr. Chris Mauki, Mtaalamu wa Saikolojia, Ndoa na Mahusiano, Malezi na Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam juu ya suala hili la Kataa Ndoa, mjadala ambao umekuwa mkali sana hasa kwa vijana wa zama hizi. Kusoma sehemu ya kwanza ya mahojiano haya...
  9. Swahili AI

    Hawa viumbe wanapenda hela

  10. C

    Wanawake hawatangazi mwanaume masikini

    Ukiona mwanamke anakuweka kwenye profile zake za mitandao ya kijamii au billboard anakutajataja kwenye maadishi yake na kwa marafiki zake, jua tu yeye ndio ana kufaidi kuliko wewe unavyodhani. Mwanamke hawezi kutangaza mwanaume masikini hata kama unampenda kiasi gani, ukiwa mkata nyasi wewe...
  11. msuyaeric

    Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Wakuu Habari zenu! Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela. Jamani tabia hii kwa wanawake imekuwa kero kuliko hata wale wanaoomba msaada barabarani. Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo...
Back
Top Bottom