Nyie mnaolalamika wanawake wa sikuhizi wanapenda hela inaonesha hamjakaa na bibi zenu wakawaambia maisha yalivokuwa kipindi hicho miaka ya 1940, 50, na miaka ya zamani mingine.
Mwanamke alikua anaolewa na mwanaume mwenye uwezo wa kumuhudumia yeye pamoja na watoto wake na pia ikitokea tatizo...