Kwema Wakuu!
Wasije wakakuloga ukawa mtumwa wao.
Wasije wakakudanganya kuwa usipowapa pesa ati hautawapata. Ni uongo.
Ni kosa kubwa wanalofanya vijana wengi kutoa wasipopewa. Kupanda wasipovuna.
Mapenzi ni kitu rahisi na chakawaida kama utatumia kanuni ya nipe nikupe. Tupeane.
Wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.