mapingamizi ya uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LGE2024 Babati: Mwenyekiti wa Kamati ya Rufani Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, amewataka wagombea kuwasilisha mapingamizi mapema

    Mwenyekiti wa Kamati ya Rufani Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara Khalifan Matipula ametoa wito kwa wagombea ambao hawajawasilisha mapingamizi yao kuyawasilisha mapema ili yaweze kufanyiwa kazi kwa wakati. Pia soma: Lindi: Wasajili wasaidizi wa Uchaguzi wadaiwa...
  2. LGE2024 Kilimanjaro: Mgombea wa CCM akana kumuwekea pingamizi mgombea wa CHADEMA, msimamizi wa uchaguzi anaduwaa

    Anaandika Twaha Mwaipaya kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X "Kata ya Marangu Mashariki Kijiji cha Lyasongoro Msimamizi wa uchaguzi amewawekea wagombea wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADEMA) mapingamizi na kuonyesha kua mapingamizi hayo yameandikwa na wagombea wa CCM. Baada ya wagombea...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…