Wanaume sio sana, ila kwa utafiti wangu wanawake, Wanafunzi na watoto wadogo wa kike na wa kiume wanapenda chakula hiki kuliko kitu chochote.
Tena cha ajabu hata wakipikiwa nyumbani wanasema za nyumbani sio tamu.
Cha ajabu zaidi hata uwatoe watu mikoani waliozoea ugali wa udaga au mtama ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.