Niliambiwa kuna chakula nipikiwe, chakufanya, nimtume boda ingredients, nikasema sawa.
Ingredients zikaja, mapishi yakaanza, na tukaandaa matumbo ya chakula kizuri.
Chakula kimeiva, kila anaekula haelewi, sasa sijui kakosea steps au ni vipi ila haya mapishi ya YouTube sio poa kabisa.