marburg bukoba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kidagaa kimemwozea

    Mtu mmoja kati ya Wawili waliobainika kuwa na ugonjwa wa Marburg afariki Kagera

    Wizara ya afya imedhibitisha kifo cha mgonjwa mmoja wa Marburg ambaye alikuwa akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospital ya Wilaya Biharamulo. Aliyefariki ni kati ya wagonjwa wawili waliobainika kuwa na ugonjwa huo wilayani humo. Soma, Pia: Rais Samia athibitisha mmoja kugundulika na...
  2. Torra Siabba

    Rais Samia athibitisha mmoja kugundulika na maambukizi ya virusi vya Marburg nchini

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mtu mmoja amekutwa na maambukizi ya virusi vya Marburg (MVD) katika Wilaya ya Biharamuro mkoani Kagera. Taarifa hiyo inakuja siku sita tangu Shirika la Afya Duniani (WHO) liweke wazi kuhusu watu wanane kufariki dunia kutokana na ugonjwa unaoshukiwa...
  3. B

    Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

    Tumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga. Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola. "Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake." Maajabu ya Mussa. Tangu lini uswahilini neno Marburg...
Back
Top Bottom