Wakuu habari zenu.
Its no longer news kuwa siku ya jana kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine alipigwa risasi ya mguu na vikosi vya usalama vya Uganda.
Soma pia: Boby Wine apigwa risasi ya mguu katika vuta n'kuvute na polisi
We also know kwamba kwa miaka ya hivi karibuni, mahusiano ya...