marekani vs hebollah

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ni huzuni kuu kwa Hamas na washirika wake na ni furaha kwa Israeli na washirika wake

    Ni huzuni kuu kwa Hamas na washirika wake na ni furaha kwa Israeli na washirika wake Siku 5 zilozipita Netanyahu alitangaza mauaji (assasination) ya viongozi wa Hamas na Hezbollah. Leo IDF wamemuua kiongozi mkuu wa Hamas pamoja na majenerali kadha wa kadha wa Hamas. Yahya Sanwar ameongoza...
  2. A

    Marekani yaiwekea vikwazo Hezbullah

    Mkitaka kujua anaye pigana vita hi kati ya Israel na Hamas, pamoja na Hezbullah ni US. Leo US eti anaipiga sunction Hezbullah, nimecheka kweli kweli, toka lini Hezbullah ana biashara na US. Wacha US hata UN aipige Hezbullah sunction kipigo kinaendelea huko Israel. US kisha changan'yikiwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…