https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV
Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara
"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia...
Baada ya CCM kumchagua ndugu Stephen Wassira kurithi kiti cha Kinana. Ameanza kutoa kauli ya kutaka kufanyakazi ya mwanzo kabisa ya maridhiano.....
CCM inadhani kuwa ikishakaa na CHADEMA wakaridhiana wanakuwa wameridhiana na taifa. Mimi nawakikisha Watanzania huru ambao hawaamini kwenye mbanga...
Akiwa anawasilimia wana CCM na wageni waliofika kwenye mkutano mkuu, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Ndg. Wassira amesema ataanza kushirika na maridhiano, na kwamba hakuna maridhiano na mtu mmoja bali na jamii.
Dongo hilo limerishwa kwa Lissu likiwa la moto kabisa!
Pia soma: Lissu: Habari ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.