Video kuwa na budget kubwa haimaanishi kuwa itakuwa bora Kuna utofauti mkubwa kati ya video ya gharama na video iliyo Bora.
Kwa mtazamo wangu ambao sio lazima Kila mtu awe nao kwangu Music video ya Mario Hakuna Matata ni Bora zaidi kuliko Komasava ya Diamond Platinumz.