Wataalamu wa Sheria mtusaidie kwakuwa uchaguzi 2020 haukuwa uchaguzi kulingana na maelezo ya Marko Henry Ng'umbi na Nape etc kuwa serikali ndiyo ilipanga. Je, kuna uhalali wa kuwa na Serikali hii kwakuwa viongozi waliopo walirithi na walitokana na uchaguzi wa 2020?
Pia wabunge, madiwani ni...