MWENYEKITI WA UWT TAIFA AONGOZA KONGAMANO LA MAFUNZO YA MATOKEO YA SENSA, KAHAMA, SHINYANGA
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Marry Pius Chatanda ameongoza Kongamano la Mafunzo ya Matokeo ya Sensa kwa Makundi...