Masai is an area in Pasir Gudang, Johor Bahru District, Johor, Malaysia, and is the oldest neighbourhood of Johor Bahru town. It is located 25 kilometres from the Johor Bahru city centre. Masai is located on route J10 which leads to Kong Kong, a fishing village along Johor River. The main access roads to Masai are Jalan Masai Lama (J10) and Pasir Gudang Highway (Federal Route 17).
Many pre-war buildings are still well preserved. Masai, like many of the towns in the Johor Bahru district, catered to the rural population of farmers and rubber plantation workers throughout the early and mid 20th century.
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.
Umuamuzi huo umetolewa leo August...
Uhifadhi wa mazingira ndizo kelele za dunia yetu kwa nyakati hizi, ardhi haiongezeki, bali watu wanaongezeka na masai wameongezeka kwa idadi kubwa ya kutisha, no matter ni eneo waliloishi miaka kwa miaka, ardhi isiyo mbuga ipo tele na yenye rutuba na nzuri kwa malisho ya mifugo.
Pia, hoja ya...
Mama wa watoto kadhaa anahukumiwa zaidi ya miaka 20 kwa kukutwa na nyamapori kilomoja, ila kuna kundi la watu linafanya uwindaji haramu kwa kuua mamia ya wanyamapori kwa kisingizio cha tamaduni.
Ufugaji wa ng'ombe wa kienyeji umekuwa kama uharifu nchini kwa asilimia kubwa ya wafugaji, mifugo...
1. Nimekuja Zanzibar mwaka 1999 kutafuta maisha,
2. Nikaanza kama Mlinzi hotelini, baadae msusi, kisha
3. Sasa, namiliki kampuni ya kuongoza watalii. Nimeajiri watu 9. Nimejenga nyumba ya block Longido.
NB: Muungano udumu milele.
Masai ni jadi yake kutembea na fimbo miaka yote. Hakuna siku tumewahi kuiona fimbo ya Masai kama silaha. Kinachoendelea Zanzibar ni mwendelezo wakupambana na kabila hili kutokana na ukweli kwamba wamejaa Zanzibar na wanaongea vibaya kuhusu ngorongoro.
Ukiwakuta wakiwa na wazungu wanajadili mada...
HABARI Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar Tabia Maulid Mwita, ameomba radhi na kutengua kauli iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar, Dkt Omar Adam ya kwamba mwanaume yeyote anayetaka kusuka visiwani humo itambidi alipie...
Hola Amigos,
Jana nmekutana na mmasaai anatembea akiuza dawa mbalimbali kwenye kigunia, alikuwa ameshikilia kama kimenu cha dawa alizonazo na bei zake, ukikutana naye haongei sana anakupa kipeperushi tu.
Baadhi ya dawa nlizoziona kwenye menu
Mkongo puturu-10,000
Mkuyati-15,000
Dawa ya...
Wachungaji wanahaha kwa hofu kuu wakihofia upanga mkali.
Kuna taarifa zimesambaa kwamba Askofu Malasusa anaunoa upanga wake kuwamaliza Mbiso na Masai.
Mbiso na Masai, kama Dk. Kimaro, pia nyota zao zinawaka kkwa kiasi Cha kumfanya Askofu Malasusa awachukie.
Muda wowote na wao watafyekwa.
Maswali mazito yaliulizwa na Mzungu kwa Wamasai. Cheki video utajua Wamasai wanaakili kuliko Mzungu
Ni Mara nyingi tuli mjini tunaji chukulia ni wajanja kupita maelezo, Ila yawezekana Wamasai ni wajanja kutupita sisi, ndo Mana wanaishi simple life.
Hautaweza kumuona Masai ameuza ngo'mbe zake...
Habari ndiyo hiyo, watu wetu wanafukuzwa kwenye Ardhi yao kumpisha Mwarabu awinde, Habari kamili chini hapo.
---
Ten Maasai leaders were detained and more than 30 people wounded during violent clashes with police in northern Tanzania on Friday, as they protested against eviction from their land...
An artistic impression of JW Marriott Masai Mara Lodge’s junior suite tent bedroom. PHOTO | COURTESY | MARIOTT INTERNATIONAL
Global hotel chain Marriott International has signed an agreement with Baraka Lodges Limited to open its first luxury safari lodge in Masai Mara, Narok County.
The JW...
Maulid Kitenge na Mzee wa Kaliua mmefanya Kubwa sana kutetea uhai wa watoto wa Kimasai. Natambua Binadamu wabinafsi awatawaelewa na Binadamu wanafiki watawaambia na kuwadanganya kwamba Masai anatakiwa kuishi na wanyama Ngorongoro kama kivutio Cha utalii na kwamba Masai ni Moja ya factor...
Nairobi City, Kenya fahamu jina Nairobi limetokana na kabila la kimasai.
Neno Nairobi ambalo ni neno la kimasai yaani "Nyarobi ankare" ikimaanisha Ardhi yenye Maji Baridi.
Hivyo jiji la Nairobi Asili ya jina lake ni Kimasai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.