masai

Masai is an area in Pasir Gudang, Johor Bahru District, Johor, Malaysia, and is the oldest neighbourhood of Johor Bahru town. It is located 25 kilometres from the Johor Bahru city centre. Masai is located on route J10 which leads to Kong Kong, a fishing village along Johor River. The main access roads to Masai are Jalan Masai Lama (J10) and Pasir Gudang Highway (Federal Route 17).
Many pre-war buildings are still well preserved. Masai, like many of the towns in the Johor Bahru district, catered to the rural population of farmers and rubber plantation workers throughout the early and mid 20th century.

View More On Wikipedia.org
  1. Q

    Mahakama yazuia Vijiji vya Ngorongoro Kufutwa

    Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro. Umuamuzi huo umetolewa leo August...
  2. Hoja za Serekali za uhifadhi wa urithi wa asili, inaishinda hoja ya masai ya kimakazi

    Uhifadhi wa mazingira ndizo kelele za dunia yetu kwa nyakati hizi, ardhi haiongezeki, bali watu wanaongezeka na masai wameongezeka kwa idadi kubwa ya kutisha, no matter ni eneo waliloishi miaka kwa miaka, ardhi isiyo mbuga ipo tele na yenye rutuba na nzuri kwa malisho ya mifugo. Pia, hoja ya...
  3. Tetesi: Inasemekana waliohamasisha wamasai kuandamana wanatafutwa usiku huu

    Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu. Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
  4. Video: Masai arushwa kichura chura

    Mwanaume mmoja wa kabila la Kimasai ameonekana akirushwa kichura chura baada ya kuvamia shamba la watu. Nini maoni yako? Written by Mjanja M1 ✍️
  5. Rwandair anatua DOH, DXB,JHB, CPT, LOS, ACC, EBB Vs ATC?

    Rwandair wanatua destinations za mashiko kibiashara 1. London Heathrow, 2. Brussels, 3. Paris, 4. Dubai, 5. Doha, 6. Mumbai, 7. Lagos, 8. Douala, 9. Libreville, 10. Accra, 11. Dar, 12. Entebbe, 13. Nairobi, 14. Kilimanjaro, 15. Johannesburg, 16. Cape Town, 17. Lusaka, 18. Harare...
  6. Je tamaduni za wamasai na wahadzabe ziko juu ya sheria?

    Mama wa watoto kadhaa anahukumiwa zaidi ya miaka 20 kwa kukutwa na nyamapori kilomoja, ila kuna kundi la watu linafanya uwindaji haramu kwa kuua mamia ya wanyamapori kwa kisingizio cha tamaduni. Ufugaji wa ng'ombe wa kienyeji umekuwa kama uharifu nchini kwa asilimia kubwa ya wafugaji, mifugo...
  7. Masai tuliofanikiwa kimaisha Zanzibar

    1. Nimekuja Zanzibar mwaka 1999 kutafuta maisha, 2. Nikaanza kama Mlinzi hotelini, baadae msusi, kisha 3. Sasa, namiliki kampuni ya kuongoza watalii. Nimeajiri watu 9. Nimejenga nyumba ya block Longido. NB: Muungano udumu milele.
  8. R

    Masai wakatazwa kutembea na fimbo Zanzibar; Je, Wamasai wamewakosea nini kila sehemu mnawakataa?

    Masai ni jadi yake kutembea na fimbo miaka yote. Hakuna siku tumewahi kuiona fimbo ya Masai kama silaha. Kinachoendelea Zanzibar ni mwendelezo wakupambana na kabila hili kutokana na ukweli kwamba wamejaa Zanzibar na wanaongea vibaya kuhusu ngorongoro. Ukiwakuta wakiwa na wazungu wanajadili mada...
  9. Waziri Maulid Mwita aomba radhi na kutengua kauli ya katibu mtendaji wa baraza la sanaa juu ya kulipa 1,000,000 kupata kibali cha mwanaume kusuka

    HABARI Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar Tabia Maulid Mwita, ameomba radhi na kutengua kauli iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar, Dkt Omar Adam ya kwamba mwanaume yeyote anayetaka kusuka visiwani humo itambidi alipie...
  10. Hivi hawa masai wanaotembea wakiuza dawa ni za kweli au matapeli?

    Hola Amigos, Jana nmekutana na mmasaai anatembea akiuza dawa mbalimbali kwenye kigunia, alikuwa ameshikilia kama kimenu cha dawa alizonazo na bei zake, ukikutana naye haongei sana anakupa kipeperushi tu. Baadhi ya dawa nlizoziona kwenye menu Mkongo puturu-10,000 Mkuyati-15,000 Dawa ya...
  11. Hofu yatanda KKKT Dayosisis ya Mashariki na Pwani, baada ya kumfyeka mchungaji Kimaro, panga la Askofu Malasusa kuwafyeka mchungaji Mbiso na Masai

    Wachungaji wanahaha kwa hofu kuu wakihofia upanga mkali. Kuna taarifa zimesambaa kwamba Askofu Malasusa anaunoa upanga wake kuwamaliza Mbiso na Masai. Mbiso na Masai, kama Dk. Kimaro, pia nyota zao zinawaka kkwa kiasi Cha kumfanya Askofu Malasusa awachukie. Muda wowote na wao watafyekwa.
  12. Wamasai walivyojibu maswali haya ya Mzungu

    Maswali mazito yaliulizwa na Mzungu kwa Wamasai. Cheki video utajua Wamasai wanaakili kuliko Mzungu Ni Mara nyingi tuli mjini tunaji chukulia ni wajanja kupita maelezo, Ila yawezekana Wamasai ni wajanja kutupita sisi, ndo Mana wanaishi simple life. Hautaweza kumuona Masai ameuza ngo'mbe zake...
  13. The Guardian: Maasai Leaders Arrested to make way for UAE owned Game Reserve!

    Habari ndiyo hiyo, watu wetu wanafukuzwa kwenye Ardhi yao kumpisha Mwarabu awinde, Habari kamili chini hapo. --- Ten Maasai leaders were detained and more than 30 people wounded during violent clashes with police in northern Tanzania on Friday, as they protested against eviction from their land...
  14. Masai dada popote ulipo nakutafuta sana SHY LAND

    Ukiona thread hii au mtu wa karibu naye anisaidie sana. Asante.
  15. US hotel chain Marriott to open luxury safari lodge in Maasai Mara

    An artistic impression of JW Marriott Masai Mara Lodge’s junior suite tent bedroom. PHOTO | COURTESY | MARIOTT INTERNATIONAL Global hotel chain Marriott International has signed an agreement with Baraka Lodges Limited to open its first luxury safari lodge in Masai Mara, Narok County. The JW...
  16. B

    Video ya ng'ombe, Pundamilia na Binadamu Ngorongoro itufundishe Maasai wana haki ya kuishi

    Maulid Kitenge na Mzee wa Kaliua mmefanya Kubwa sana kutetea uhai wa watoto wa Kimasai. Natambua Binadamu wabinafsi awatawaelewa na Binadamu wanafiki watawaambia na kuwadanganya kwamba Masai anatakiwa kuishi na wanyama Ngorongoro kama kivutio Cha utalii na kwamba Masai ni Moja ya factor...
  17. Jina "Nairobi" limetokana na lugha ya Kimasai

    Nairobi City, Kenya fahamu jina Nairobi limetokana na kabila la kimasai. Neno Nairobi ambalo ni neno la kimasai yaani "Nyarobi ankare" ikimaanisha Ardhi yenye Maji Baridi. Hivyo jiji la Nairobi Asili ya jina lake ni Kimasai
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…