Masaki Satō (佐藤優樹, Satō Masaki) (born May 7, 1999 in Sapporo, Hokkaido) is a Japanese pop singer. She is a former tenth-generation member of the pop group Morning Musume.
Wakuu,
Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.
Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.
Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa...
Nikipita Mbweni huwa najiona mjinga sana,mahekalu yale yamejengwa nayaona kabisaaa.
Nimezaliwa mjini,nimekulia mjini,shule nimekwenda kiasi chake,lakini sijui nilifeli wapi kumiliki mjengo maeneo hayo.
Pamoja na hayo yote,Masaki bado ni the best.
Ukitaka kujua kama chuo unachosoma ni...
Plot Available For Sale.
Location: Kahama road, Masaki, Dar es Salaam.
Size: Sqm 1200.
Price: 1.5 Million USD, Fixed.
Document: Ownership with Title Deed.
Contacts:
0784 829565
0767 833345
@prathlimited
Wadau, leo ni tarehe 7/01/2025. Mpk sasa baadhi ya Wafanyakazi wa kampuni hii hatujalipwa mishahara ya mwezi wa December mwaka jana, cha ajabu malipo kwa wafanyakazi yamekuwa yakifanyika kwa mafungu mafungu bila taarifa yoyote kutolewa ili kuwajulisha wafanyakazi nini kinachoendelea ndani ya...
Hivi nani anaijua Historia haswa ya ule Mbuyu wa pale ‘Mbuyuni’ kona ya kwenda Oysterbay/Masaki.
Maana inashangaza vile umekaa katikati ya Barabara na haujawahi kukatwa!!
Sahizi mwendokasi nao wanaukwepa kuukata sasa sijui watapitisha wapi Barabara yao?
Wakazi wa Masaki na Oysterbay ambao ni wapangaji kwenye nyumba za mabwanyeye wamejikuta wakishangilia na kuamshana kwenye makundi yao ya WatsApp baada ya ddola kuporomoka dhidi ya shilingi.
Nyumba za Oyesterbay na Masaki nyingi zilikuwa ni za umma/serikali watu wakauziwa bei ya soda, wao...
Yaaan shida ni maadili
YAAN KUNA video zilisambaa kibaoo za Azizi pakome na baadhi ya wachezaji wakiwa bat siku tatu kabala ya mechi
Aikutosha ilikuwa mechi nyingine wakaonekana wako bar Moja pale Morocco na wahuni WA like wakichezewa SEHEMU zao.
Hii ya masakii pakome alilizwa dollar 5000 na...
Kama kichwa cha habari kinavyosema wakuu.
Nahitaji nyumba maeneo ya masaki ambayo ipo kwenye standard ya hali ya juu
Nipo serious maana nataka niishi sehemu yenye furaha ambayo haina uswahili na naomba mnitajie bei kabisa na picha za nyumba
• Direction: Haile Selasie
• Plot Area: 4,200 sqm
• Document: Title deed
• Price: USD 3.5 million (payment in TSH accepted)
• Viewing charge: TSH 30,000
.
✓ panafaa kwa miradi ya makazi na biashara
.
In Real Estate We Connect
Nimejikuta najiuliza tu swali hivi mbwa wa huko ushuani kama njiro,capripoint,osterbay nao wanabweka sana kama wa huku kwetu uswahilini maana huko ushuani nasikia wana majina eti mara german shephard...na wa huko wanashinda indoor well fed,wanaratiba ya kuonana na vet,lakini pia hawapati kadhia...
Apartments for Sale
Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa.
Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool.
Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini)
Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
apartments
bahari
beach
beach plot
chang'ombe
dar
dar es salaam
duce
eneo
eneo linauzwa
for sale
houses
karibu
kinauzwa
kinondoni
kiwanja
kiwanja kinauzwa
linauzwa
masaki
mbagala
mlandizi
morocco
msasani
new
plot
plot for sale
plots
sale
temeke
with
Hali ya Barabara za Masaki. Sehemu yenye watalii wanaokuja kutembelea Tanzania, hotel za kimataifa, balozi mbali mbali.nk
Wengi wakija Tanzania na kuona aina ya hiz barabara wanaona Tanzania haina uongozi na corruption imetamalaki. Wazungu uchukulia Tanzania hivyo
Hiv serikali inashindwa...
Wakuu,
Nimekusanya mahitaji yangu na kwend sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya TIGOPESA MASTERCARDS.
Nikapokea msg ya kukatwa kwa malipo niliyofanya na nikawa najiandaa kuondoka na mzigo wangu nikapigwa stop,kwamba hawajapata malipo.
Nikaenda sehemu ya muhindi anayehusika...
Wakuu,
Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.
Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.
Malipo yalitakiwa kuwa ni...
Kuna hili Eneo hapa Kanisa la st. Peters karibu na gate la "Security officers" Barabara imewekwa viraka juu ya viraka. kila inaponyesha mvua lazima iharibike hivi kweli mpaka mtu apate ushauri hapa JF ndio wajue pale panastahili kuwekwa zege?
Mimi sio mtaalamu wa Ujenzi lakini kinachofanyika...
Hivi barabara ya kuelekea yatch club inatia fora,unakutana na mashimo,maandaki sehemu za huko ndiko wanakaa viongozi, Mabalozi, Wageni kutoka nje.
Wengine mpaka wageni wetu wanatuliza hivi huku ndiyo wanakaa matycoon mbona njia ziko ovyo.
Kingine cha ajabu hao wakandarasi wanachofanya ni...
Wadau hamjamboni nyote?
Naandika na kuuliza haya siyo nakashfu ila ndiyo ukweli unaonishangaza sana
Ni nadra sana kuona mtu mzima au mtoto maeneo ya Masaki, Oysterbay au Mikocheni akiingiza vidole puani ili kuondoa uchafu au muwasho bila ya kutumia kitambaa ' handkerchief'
Yaani kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.