Mfanyabiashara maarufu na mmilikiwi wa A. M investment na mahotel mbalimbali nchini Alex massawe abadili dini na kuwa muislamu
Alex massawe alikimbia nchi ya Tanzania na kukimbilia south Afrika kutokana na tuhuma mbali mbali.Hongera bwana Alex massawe kuja kwenye dini ya haki na dini yenye...