masharti nafuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshana Jr

    Je, Serikali yako ilishawahi kukwambia masharti nafuu kwenye mkopo ni yapi?

    Niliwahi kusikia mara moja tuu sijui ni kwenye awamu gani kwamba serikali imeshindwa kuchukua mkopo wa mabilioni kutokana na masharti yake kuwa magumu. Baada ya hapo sikuwahi kusikia tena hilo bali ni serikali kuendelea kupokea mabilioni ya MIKOPO YENYE MASHARTI NAFUU. Je, serikali yako imewahi...
Back
Top Bottom