masharti ya mkataba korea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chachu Ombara

    Waziri Mkumbo: Hakuna mkopo tuliowahi kupokea kwa kuweka rehani rasilimali zetu

    Akizungumza na waandishi wa habari Ikulu Dar es Salaam, Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amewaondoa wasiwasi watanzania rasilimali za nchi ziko salama kabisa, zile habari zilizokuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii ni uzushi Namnukuu “Taarifa ile ambayo ilisambaa...
  2. V

    Rais Samia kusaini matrilioni ya pesa za mikopo bila uwepo wa Waziri Fedha ni sawa?

    Nimepitia picha mbalimbali walizopiga viongozi walipotembelea Korea Kusini walikoenda kusaini mikopo sijaona Waziri wa Fedha na uchumi akionekana Je, kwa wataalaamu wa uchumi hili jambo ni sahihi? Mshauri namba moja wa Rais kuhusu mkopo ni Waziri wa Fedha, kwanini hajaenda yeye? Hili suala...
  3. Suley2019

    VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini

    Tanzania na Ethiopia zimesaini mikataba kadhaa na Korea Kusini kwa ajili ya kupata mikopo ya mabilioni ya dola kwa ajili ya maendeleo. Mikopo hiyo itaiwezesha Korea Kusini kupata fursa ya kuchimba madini muhimu katika nchi za Afrika. Korea Kusini imeandaa kongamano na viongozi 30 wa nchi za...
Back
Top Bottom