Wakuu salama?
Leo kwenye pita pita zangu nikakutana na watu wanalalamika masharti ni mengi sana kwenye nyumba waliyotaka kuhamia na hivyo ikawapalekea kutokulipa kodi kutokana na mashrti kuwa mengi.
Masharti gani wewe ulikutana nayo ukaghairi kupanga nyumba hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.