Kwa mujibu wa Mamlaka ya hali ya hewa na majira ya huku niliko, mvua za kupandia zinatarajia kuanza kunyesha wiki ya Tatu ya mwezi March ambayo ishafika mimi nimeshaandaa shamba na nimeshapiga Mashimo na nimeshanunua mbegu.
Je, naweza kufukia mbegu kabla ya mvua kunyesha?
Nahofia nisije...