mashindano ya olimpiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Mashindano ya Olimpiki yameisha?

    Wakuu kwani mashindano ya olimpic yameisha? Kulikuwa na nyuzi tele humu za kuwafagilia watanzania walioenda kwenye mashindano. Mlikua mna mbwembwe wakati mnaenda ila sasa hivi kimyaaa 😂😂 Pia soma: Mwanariadha Alphonce Simbu amaliza nafasi ya 17 Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa Hiki kimya chenu...
  2. Mkalukungone mwamba

    Wanariadha watatu wa DR Congo wametoweka tangu Jumapili siku ya mwisho ya michezo ya 33 ya Olimpiki

    Wakati sherehe za kufunga michezo ya Olimpiki zikifanyika mjini Paris, wanariadha watatu wa DR Congo wametoweka tangu Jumapili hii, siku ya mwisho ya michezo ya 33 ya Olimpiki. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ilishiriki katika matukio manne (Judo, kuogelea, riadha na ndondi) nchi hiyo...
  3. K

    Mwanariadha Alphonce Simbu amaliza nafasi ya 17 Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa

    Leo aubuhi nimefuatilia shindano la Olympic kule Paris la mbio ndefu ya kilomita 42 na mwanariadha Ndugu Simbu akiwa mshiriki toka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa kweli matokeo yake hayakuwa mazuri kwa kushika nambari 17 akitumia saa 2:10: 03 katika mbio hizo. Pole sana. Rudi nyumbani...
  4. Lexus SUV

    Hivi kuna mantiki ya wanamichezo kuvaa vichupi kwenye Olympic

    Aiseh , UnaKuta wadada wamevaa vichupi, nusu sema full uchi . Sijui kwa mantinki ipi wakuu? Soma Pia: Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo
  5. Lady Whistledown

    Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris

    UPDATE: Tangu kuanza Kushiriki Olympics (1964), Tanzania ilipata Medali 2 tu za Fedha (Silver) kupitia Filbert Bayi na Suleiman Nyambui huko Moscow (1980). Leo Julai 29, 2024, Mcheza Judo Andrew Mlugu leo anatafuta Medali ya 3 akikabiliana na Joan-Benjamin Gaba (23) wa Ufaransa Mlugu (28)...
Back
Top Bottom