mashine ya efd

  1. N

    Kwa wafanyabiashara wanaolipa TRA

    Mambo vp wadau?. Hivi kama umeenda TRA kufanya makadirio na waka sema utumie mashine ya EFD wakati hata uwezo WA kununua hyo mashine huna inatikiwa ufanyaje wakuu
Back
Top Bottom