Ni jioni Moja nipo iliotulia nipo viunga vya home salasala dar, mwaka 2004.
Hio siku ndio nilishuhudia Kuna watu makatiri Duniani, kuna mnaokumbuka ule wimbo wa salasala Godzilla Yale matukio yalioimbwa mengi ni kweli kabisa.
Sasa palikua na kikundi Fulani walijiita chafosa wao ilikua ni...