Hili sijui naliona mimi pekee ni shida, kwanini ofisi nyingi za Masijala za halmashauri hazina dawati maalum ndani ya ofisi kwa ajili ya kuhudumia wateja wao ambao wengi wao huwa ni watumishi ila wao hupenda au hulazimisha huduma kufanyika dirishani, tena wenyewe wakiwa wamejifungia kwenye ac...
Wakuu ivi huyu masjal ni nani?
Maana sikuizi ofisi za serikali nyingi ukienda kufwatilia maswala ya msingi..unaskia "barua yako haijajibiwa na masijala njoo mwezi ujao au mwakani njoo" Kirahisi rahisi ivyo?
Ikumbukwe kua binadamu anaishi vizuri kwa kumtegemea binadamu mwenzake..
Pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.