Wakuu ivi huyu masjal ni nani?
Maana sikuizi ofisi za serikali nyingi ukienda kufwatilia maswala ya msingi..unaskia "barua yako haijajibiwa na masijala njoo mwezi ujao au mwakani njoo" Kirahisi rahisi ivyo?
Ikumbukwe kua binadamu anaishi vizuri kwa kumtegemea binadamu mwenzake..
Pale...