Kilwa Masoko is a port town on the Indian Ocean in southeastern Tanzania. Kilwa Masoko is the current major town of Kilwa District and includes all the hotels in the area as well as a bustling market, beautiful beaches, small fishing communities and is the gateway to the ruins of Kilwa Kisiwani. On nearby Kilwa Kisiwani island there are ancient Swahili ruins which were declared a UNESCO World Heritage Site in 1981.
The hotels in Masoko are spread along the coastline but there is a group close to town on JImbiza beach and the newer hotels are on the beautiful Masoko Pwani.
Jumapili, Februari 9, 2025
WAKULIMA WAPEWA UJUZI KUINGIA MASOKO YA NJE
https://m.youtube.com/watch?v=g4lX5ji0qBQ
Ukosefu wa maarifa na ujuzi miongoni mwa Watanzania, hususan wale walioko katika mnyororo wa kilimo, umetajwa kuwa sababu kuu inayowakwamisha kufikia masoko ya kimataifa.
Hayo...
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amesema mfumo wa Stakabadhi za Ghala, umeendelea kuwa chombo muhimu katika kuimarisha urasimishaji wa biashara ya mazao kwa kuweka uwazi, kuongeza ushindani wa bei na kuwahakikishia wakulima masoko ya uhakika.
Dkt.Jafo,ameyasema hayo leo...
Je, wewe ni mzalishaji wa bidhaa au unamiliki duka la jumla na unatafuta njia bora ya kuongeza wateja wa uhakika kwa bidhaa zako?
Ninakuleta suluhisho thabiti!
Ninajitokeza kama wakala wa masoko na dalali wa bidhaa, nikiwa na nia ya dhati ya kukusaidia kufanikisha malengo yako ya biashara. Nina...
Habari ( Salesperson Needed )
NB: Tunaitajii watu 5 kwa ajili ya kutafuta masoko ya bidhaa za umeme
Eneo : Kibamba
Mshahara:: 800,000/= Kwa mwez
Call / Text : 0614502969 Kwa maelezo zaidi
Habari zenu wana JF
Ninamtaji kidogo na ninawazo la kufungua biashara ya Nafaka kma mchele, unga, maharage n.k huku Kigamboni Dar.
Naomba kwa wanaofahamu masoko ya Nafaka ya jumla. Nitashukuru nikipata connection ya watu waaminifu.
Asantee!!
Habari za mapambano wanajamvi kama mada ilivyo hapo juuu. Nimekuwa nafanya biashara ya mazao (mahindi, maharage,mpunga,alizeti) kwa mda wa miaka zaidi mitatu yaaani mimi natafuta mzigo vijijini maeneo ya songwe na Rukwa napeleka soko la tunduma mataifani pia soko la mbalizi. Kuna baadhi ya mambo...
Habari wanajamvi, nipo katika harakati za kutafuta masoko ya peanut butter natengeneza peanut butter za organic (isiyo na mchanganyiko wowote) ya chumvi na ya asali shida ni masoko napatikana Mbeya kwa namba 0613070778 msaada wa kuniunganisha na wauzaji
Hii nchi ya Lebanon kila siku naisikia iko vitani na Waisraeli au migogoro ya siasa za ndani kwa ndani kati yao wenyewe ila nimeshangaa masoko yao yana tiles!
Sisi tunashindwaje kuweka hata zege tu bila tiles kwa soko muhimu kama la Mabibo??
Masoko yote yalitakiwa yawekwe pavement blocks.
Habari wakuu, naamini hii itasaidia Kwa wafanyabiashara na wanunuzi. Hebu Leo tuambiane siku ambazo magulio / minada / hufanyika.
Naomba nianze na Dar es salaam nilipo.
Kivule Sokoni = Kila Jumanne
Kitunda = Kila Ijumaa
TABATA Kinyerezi (Mahakamani jirani na Kinyerezi park ) = Kila Jumatatu...
Ifuatayo ni Orodha ya masoko ya Mitaji/Financial markets ambapo unaweza ukafanya uwekezaji
1. HATI FUNGANI
Ni soko ambapo muwekezaji anakopesha fedha kwa kipindi cha mda flani huku akipatiwa riba.Kwahiyo Hati fungani ni hati ya makubaliano kati ya mkopeshaji na mkopaji ikiwa na maelezo ya riba...
Masoko ni nin? Masoko ni sehemu wanazouza na kununua bidhaa mbalimbali.
Tunaweza kutumia njia gani nje na hizi tulizo zizoea kila siku kuimarisha soko la watu wanao uza bidhaa mbalimbali kuanzia watu wa Mashambani ufugaji n.k
Njia tulizo zizoea kwenye kuuza bidhaa huwa ni zile zile kila siku...
Kwa wengi wetu neno hisa ni neno tuliloanza kuliskia tangia udogoni,lakini hata hatuelewi lina maana gani,,,Hii ni kutokana na serikali kutoiweka elimu hii muhimu katika mitaala na kutupatia elimu ya kujua wapi kuna fuvu la kale,dah,,
Soko letu la hisa linajitahidi kujipambanua japo kwa...
BANDARI YA UVUVI KILWA KUTOA AJIRA ELFU 30
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema mpaka sasa mradi wa ujenzi wa bandari ya uvuvi ya Kilwa Masoko imeshatoa ajira kwa vijana wapatao 570 ambao wanafanyakazi hapo huku akiongeza kuwa utakapo kamilika utatoa ajira elfu 30 katika...
Tanzania na Teknolojia ya Blockchain: Njia ya Kukuza Ustawi wa Masoko Ndani ya Miaka 10
Utangulizi
Teknolojia ya blockchain ni mojawapo ya uvumbuzi muhimu unaobadili sekta mbalimbali za uchumi duniani. Tanzania, kama nchi inayotaka kujenga uchumi wa kidijitali na endelevu, inaweza kunufaika...
Unadhani kutokana na kuwepo kwa changamoto ya masoko kwa bidhaa pamoja na mazao kwa wakulima Tanzania nini linaweza kuwa suluhisho ukiachana kuilaaumu serikali je unaona vijana wana nafasi gani hapa
Habari Wanajukwaa wote!
Poleni na hali ya kimaisha ambayo tumekuwa tukiishi nayo kwa muda mrefu ambayo haikuwa na budi kutokea ila imefika wakati inabidi kuachana nayo kwa ustawi wa kila mmoja wetu ili kuendana na uchumi wa kudunia unaoendelea hivi sasa.
Rejea na kichwa cha andiko hili, nchi...
Kumekuwa na changamoto ya kukosekana kwa ufanisi katika uendeshaji wa mashirika mbalimbali ya uma na makampuni binafsi hapa nchini Tanzania kwa muda mrefu sasa.
Ndio maana kuna mashirika kadhaa ya serikali yalibinafsishwa mfano, viwanda kama zana za kilimo (zzk) kule Mbeya ambacho hakifanyi...
Cargo system mtandao ni mfumo wa teknolojia ambao unawezesha kusafirisha bidhaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa njia ya mtandao. Inaweza kutumika kwa kusafirisha bidhaa za kielektroniki kama vile data, video, na picha, au kutumika kwa kusafirisha bidhaa za kawaida kama vile nguo, vifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.