master

MASTER (Mobile Astronomical System of Telescope-Robots) is a Russian network of automated telescopes in five Russian cities, and in South Africa, Argentina and the Canary Islands. It is intended to react quickly to reports of transient astronomical events. It started its development in 2002 and it is in fully autonomous operations since 2011.On 17 August 2017, an autonomous MASTER telescope in Argentina successfully recorded a collision of neutron stars some 130 million light-years away.

View More On Wikipedia.org
  1. Master J naye alamba Uteuzi BASATA

    Hii ni baada ya kuteuliwa na Waziri Damas Ndumbaro kuwa Mjumbe wa Basata. --- Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo , Dkt. Damas Daniel Ndumbaro amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) baada ya Rais wa wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kumteua Prof. Saudin Jacob...
  2. Natafuta Chumba master (100k) Mbezi Beach au Goba

    Habari JF, Natafuta chumba chakupangisha maeneo ya Mbezi Beach (Mbuyuni, Africana, Makonde, Shule, Kogoo, Tank Bovu, Massana) au isipite Goba Kayuni ukienda na njia ya Goba Chumba kiwe ni kikubwa na Master. Mwenye nyumba aisiwe kwenye nyumba moja. Wapangaji wasiwe wengi (8+). Kuwe na uzio/fensi...
  3. Natafuta chumba master Kinondoni b au studio au Sinza

    Habari Wana jamii natafuta chumba maeneo ya Kinondoni kiwe self contained 100k kwa mwezi Hit me up
  4. Ushauri kuhusu Bachelor of Pharmacy na Master of Chemistry

    Habarini wanajamii, Naomba kufahamishwa kwa mtu mwenye bachelor of pharmacy na master of chemistry specialized in environmental chemistry soko lake lipo vipi hapa nchin Tanzania.
  5. Faida zipi na hasara zipi anaweza kukumbana nazo mtu mwenye fani nyingi na mtu mwenye fani moja

    Akili ya binadamu ina uwezo mkubwa wa kujifunza mambo, japokuwa kuna wanaoziruhusu akili zao kujifunza vitu vingi au fani nyingi. Watu wengi hupendelea kujifunza fani moja, kisha wasiendelee kujifunza fani nyingine tofauti na fani waliyokuwa nayo awali. Hii ina faida zake na hasara zake. Pia...
  6. M

    Ombi kwako Eng. Hersi Said: Wana yanga tunaomba msimu ujao timu akabidhiwe Charles Boniface Mkwasa (Master)

    Nikiwa kama mwanachama na mwandamizi wa tawi la Yanga, Magufuli Terminal napenda kumfikishia Rais Eng.Hersi Said maazimio tuliyoafikiana wanachama wa tawi la Yanga, Magufuli Terminal kuwa tunahitaji kukuona Master Charles Boniface Mkwasa akiiongoza timu yetu katika kampeni ya kuutetea ubingwa wa...
  7. Nitafurahi kuona/kusikia serikali imeweka muundo wa kiutumishi kwenye master degree

    Leo Tar. 15/06/2023, Dr. Mwigulu (WFM)anasoma Bajeti ya Serikali 2023/2024, Nimatumaini yangu bajeti yetu itajibu kilio Cha miaka mingi Cha watumishi kuomba kuwekewa muundo wa kiutumishi kwenye Elimu ya masters. Isipotokea Inshallah siku nyingine. KAZI IENDELEE
  8. K

    Chumba master, jiko ndani Kigamboni, Magogoni [New] 💥

    Kigamboni magogoni, pc Chumba kimoja 1 master na jiko ndani Maji bure Kodi 180,000 kodi ya mwezi Miezi (6) Mita 15 barabara kubwa Vyumba vyote ni vipya. Piga 0712347749
  9. Harakati za master kucha

    Ukiacha ualimu wangu wa Serikalini, hii ndo hobby yangu. Faida ya kuwa master kucha: 1) Uhakika wa kula ni nje nje, kulala njaa utake mwenyewe 2) Uhakika wa constant flow of income ni 100% 3) Kwa wale wavivu wa kumwaga sera Kwa warembo,hii kazi ni daraja la kuwapa warembo kirahisi 4)...
  10. Naombeni Ramani ya Master, sebule, chumba self, jiko, study room

    Naombeni ramani simple nzuri ya kisasa. Roof ya kawaida ya bati (sivutiwi na contemporary roof). *Master room *Sebule/sitting room (kubwa) *Self bedroom *Jiko *Study room N.B: Ni kwaajili ya bachelor life. So public toilet itakuwa nje.
  11. D

    Napangisha nyumba maendeo mbalimbali Dar

    Vyumba vinapangishwa vyumba vipo viwili master pamoja na sebule bei 250k ni chumba cha kisasa kabisaa vyumba eneo lake lipo mbezi beach tangibovu ni dakika 20 au 15 kwa kutembea kutoka stendi nicheki kupitia 0658820041
  12. Mr Blue ndie alieweza kumfanya Ali Kiba aache mpira aingie kwenye sanaa ya Muziki

    Hawa watu mbali na mziki pia ni marafiki wa kitambo sana, sema wabongo tumekalili kua ili watu wawe mabest lazma wafanye ngoma nyingi za pamoja Kama ilivo kwa mwana fa na ay STORY INAANZIA HAPA...... Kimzik Mr blue ni mkongwe Zaid kuliko alikiba na blue ndie msanii alianza mziki ktk umri mdogo...
  13. BASKETBALL: Ja Morant ndo master mpya wa court kwa sasa

    Hello bosses and roses. Huyu kijana anachezea Memphis ni hatari, aina yake ya mchezo ni ngumu sana kuiona kwa wachezaji wengine sasa na miaka kadhaa iliopita. Na bado ni kijana mbichi, 23 years. Jamaa anafanya anachotaka uwanjani, uwezo wake wa kuruka juu ni mkubwa sana. Last week kwenye...
  14. P Funk na Master J wapewe maua yao lakini nao walichangia pia kuua mziki na vipaji vya wengi

    walichangia pia kuua mziki na vipaji vya wengi kwa kiwaringia na kunyanyasa wasanii chipukizi maana wkt huo kuonana na hao ni kama kuonana na rais na waliringa mno saabu wakikuwa wao tu, yaani ukigombana nao tu hata iwe sababu ya mademu unabaki ndio imeisha hio ama ukikaza basi ni options chache...
  15. How to be the best MC master of ceremony.

    Wakuu Salaam! Kuna kamsemo wazungu wanakipenda kukisema 'If you not making money then your making nonesense. Naomba wenye highlights na dondoo chache just in brief summary watufahamishe ni jinsi gani mtu anaweza kufanya shughuli hii ya ushereheshaji katika masherehe, misiba(burial ceremony)...
  16. M

    Master Nabi anabaki kuwa mmoja tu, arudii makosa mara mbili, kawaonyesha Rivers leo

    Kocha Nasridine Nabi ni kocha wa viwango, ni kocha asiyetabirika, ni kocha master sana wa kuusoma mchezo na kumalizia kazi yake kwa uweledi mkubwa, Leo kaingia uwanja wa Uyo na back 3 akijua rivers watakuja kwa kasi sana kwenye goli la yanga kutafuta mabao hivyo akaweka viungo wa shoka, baada ya...
  17. K

    Ni program gani ya Master yenye soko zaidi kwa miaka ya sasa?

    Wakuu mambo vipi? Naomba ushauri wenu kuhusu jambo lifuatalo:- Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu (Bachelor of Environmental Disaster Management - UDOM) nilikua naitaji kwenda kusoma Master ningeomba mnipe uzoefu, ni program gani nzuri yenye tija na ipo chuo kipi ninayoweza kwenda kusoma, pia mimi...
  18. God is the master planner of our lives

    GOD IS THE MASTER PLANNER OF OUR LIVES. [Mungu ndiye mtaalamu wa mipango ya maisha yetu] Kama kijana au kama binadamu yeyote wa kawaida ni lazima kuna mipango fulani itakuwa umejiwekea kwenye maisha. Mipango yako inaweza kuwa mizuri kwa ufahamu wako wa kawaida lakini upo uwezekano wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…