mataa chang'ombe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BIGURUBE

    KERO Traffic Lights za Kilwa road ni kero

    Ukipata barabara ya Kilwa kuanzia Central police hadi mbagala zimewekwa taa Hivi karibuni, hizi taa zimeweka kila baada ya kila baada ya meta 50-100, zinasababisha foleni kubwa sana, mbaya zaidi nyingi hazipo kwny junction zaidi ya vivuko vya waenda kwa miguu. Wahusika hasa temesa waliangalie...
  2. D

    KERO Masikitiko yangu Kilwa road na Chang'ombe road inakwenda kuwa na foleni kubwa sana

    Sijui hata cha kusema! Lakini masikitiko yangu matokeo ya ufungaji wa taa za barabari Kilwa road na Chang'ombe road yanaenda kuibua kero kubwa ya msongamano wa magari kuliko ilivyo hata hivi sasa. Lengo la taa limelenga kuvusha watembea kwa miguu salama lakini kwa upande wa pili linakwenda...
  3. P

    Barabara ya makutano ya VETA na Chang'ombe hakuna mataa na taa za barabarani hazifanyi kazi, ni hatari kwa wananchi

    Wakuu kwema? Majuzi nilipita njia hii nikienda kuswampa Saba Saba, wakati wa kurudi ndio nikaona changamoto hii, barabara eneo hili zimekaa vibaya sana, kama siyo mwenyeji ni rahisi sana kusababisha ajali. Hakuna mataa ya kuongozea magari, hivyo magari yanaenda hovyo kila mtu akiwa na lengo la...
Back
Top Bottom