matabaka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Serikali ipambane kuondoa matabaka kwenye shule zake. Kibaha iwe sawa na Oljoro

    Nichukue nafasi hii kumpongeza ndugu LIKUD kwa jitihada zake za kuziheshimisha shule za serikali ingawa sio kwa njia nzuri sana inayokubalika. Kuziinua St Kayumba kwa kuziponda EMs sio namna sahihi kwa sababu hata EMs ni za watanzania kwa ajili ya watanzania. Kwa pamoja EMs na Kayumba ziko kwa...
  2. Tangu kufariki Askofu Kulola, Kanisa la EAGT uongozi wake wa juu umeshindwa kuliunganisha kanisa bali kusababisha matabaka

    Tangu alipofariki aliyekuwa muasisi wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania, Dr. Moses Kulola, uongozi uliopewa dhamana kuliongoza kanisa hilo umeshindwa kuliunganisha kanisa hilo badala yake wamekuwa ni viongozi wanaolisambaratisha kanisa kwa mpasuko, matabaka, ukabila na kwa...
  3. Short Story: Matabaka

    Siku moja, Mungu alinyang'anya kila mtu mali yake. Watu wote waliachwa bila chakula na walikuwa na njaa siku nzima. Siku ya pili yake jioni, Mungu alimpa kila mtu kuku. Kundi la kwanza lilifurahi sana kupewa kuku hao na hawakufikiria chochote zaidi yakuchinja na kula kuku wao. walikula na...
  4. Matabaka matano (5) ya Waswahili kiuchumi

    1. Mabwanyenye- Matajiri kupindukia, miungudunia 2. Walala heri- kipato cha kati 3. Walala hai- Wana Chakula cha kutosha tu 4. Walala hoi/Makabwela- Maskini, Mshahara kijungujiko, 5. Mafukara/Hohehahe/hawinde /fakiri - maskini kupindukia Tuendelee kukuza ulumbi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…