matajiri wa dunia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N'yadikwa

    Matajiri wengi wapo katika kundi hili. Soma kama unataka kuwa tajiri

    Watu wanaoamini katika mambo makubwa wanaitwa wabunifu wa maono makubwa au watu wenye maono makubwa. Hawa ni watu ambao wanaamini na kutafuta kutimiza malengo ya juu au malengo makubwa ambayo wengine wanaweza kuyaona kama changamoto au yasiyowezekana. Sifa zao ni pamoja na: 1. Ubunifu –...
  2. ChoiceVariable

    Nigeria: Aliko Dangote atangaza nia ya kuuza Kiwanda chake cha Mafuta. Adai kuna watu hawajapendezwa

    Baada ya msululu wa vikwazo kutoka Maofisa wa Nchi yake kupamba moto kisa kujenga kiwanda Cha Mafuta,Dangote anaelekea kusalimu amri na kubwaga Manyanga. Bwana Dangote anadai aliamua kujenga kiwanda kikubwa Cha Mafuta Afrika Ili kuisaisia Nchi yake ila Kuna watu hawajapendezwa nae ambapo...
  3. ward41

    Matajiri 10 wa dunia, 9 ni wa Marekani mmoja Mfaransa

    Matajiri kumi wa dunia, 9 ni wa MAREKANI mmoja MFARANSA Products zao zinajulikana. Hapo kuna google, Microsoft, Tesla, space x, Apple nk. Je, na wao wanachapisha mi dollar. Tuache kushupaza shingo, eti USA wana print dollar.
  4. Yoda

    Kwanini hawa matajiri wa dunia wanazushiwa na kuchukiwa sana?

    1. Bill Gates Huyo ametoa sehemu kubwa ya utajiri wake kusaidia sekta muhimu za Afya, Kilimo, Mazingira na Elimu kote duniani. Amechangia pakubwa kumaliza tatizo la polio kwenye mataifa kama Nigeria na India. Amezipa nchi nyingi masikini mabilioni ya pesa kupitia miradi mbalimbali kwa ajili tu...
Back
Top Bottom