matambiko ya kimila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. FRANCIS DA DON

    Je, nini tofauti ya matambiko ya kimila na yale yanayofanyika kwenye majengo ya kuabudu?

    Matambiko ya kimila yanayofanyika kiasili huwa yanaonewa aibu sana, hali ni tofauti kwa yale matambiko yanayofanyika kwenye nyumba za kuabudu ambapo watu huona fahari sana kushiriki. Tatizo ni nini hadi hali kuwa hivi, shida yetu ni nini hasa?
  2. M

    Rais Samia baada ya Kuukubali na Kuutambua Uchifu Tanzania basi nakuomba uyakubali na yafuatayo

    1. Matambiko ya Kimila 2. Uchawi / Ushirikina 3. Utani wa Makabila MATAMBIKO YA KIMILA Kuna Makabila mengine yakiamua kufanya Tamaduni zao Jamii huwaona kama vile hamnazo ( Kipa Katoka ) Kwa mfano Kabila langu ukiona uko Mjini na Maisha hayaendi yakupasa kurejea kwa Wazee kisha unakogeshwa...
Back
Top Bottom