matapeli wa ardhi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Ajifanya Mkuu wa Wilaya na kutapeli viwanja Homboza, Kisarawe

    Mtu mmoja (jina limehifadhiwa) anadaiwa kufoji nyaraka na kujifanya mwakilishi wa mmoja wa Wakuu wa Wilaya waliowahi kuongoza Wilaya ya Kisarawe, akidai kuuza viwanja kwa niaba ya mkuu huyo wa wilaya aliyepita. Tuhuma hizi zilibainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, wakati...
  2. 6 Pack

    Jerry Silaa kutolewa ardhi, tutarajie tena migogoro ya ardhi kuanza kuibuka upya na matapeli wa ardhi kuanza kutembea vifua mbele

    Niaje waungwana Japo hakuna mtu mwenye dhamana ya kumpangia raisi kile anachoamua, lakini katika hili la kumtoa Silaa ardhi na kwenda kumtupa huko kwenye habari kwa kweli Rais wetu amefanya kosa la kiufundi sana. Jerry alikuwa ashaanza kuwashughulikia vibaka na matapeli wa ardhi wote, yaani...
  3. Roving Journalist

    Waziri Silaa awatia mbaroni matapeli wa ardhi inayomilikiwa na NSSF Tuangoma Manispaa ya Temeke, waliwekewa mtego wa wateja

    Waziri wa Ardhi Jerry Slaa amewatia mbaroni watu watatu wakidaiwa kuwa ni matapeli sugu wa Ardhi Wilayani Temeke ambao wamekuwa wakiuza maeneo kadhaa yanayo milikiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kufanikiwa kujipatia Mamilioni ya fedha. Jerry Silaa amefanikiwa kuwakamata...
  4. chiembe

    Wakati nchi ikiwa kwenye vita dhidi ya matapeli wa ardhi Morogoro, kwa nini ofisi za ardhi za mkoa ziliendelea kutoa hati kwa matapeli wa ardhi?

    Nilifuatilia vita dhidi ya matapeli wa ardhi Morogoro, nikagundua wote wana hati za ofisi za ardhi Morogoro, Jerry, fumua hiyo ofisi ya ardhi Mkoa na Manispaa ya Morogoro, bila kuibomoa hiyo ofisi, ni kilio tu Morogoro. Fuatilia hati za Mkundi, au itisha mkutano wa hadhara, asilimia kubwa...
  5. GoldDhahabu

    Sheria zetu zimeshindwa kuwathibiti matapeli wa ardhi?

    Haya ni miongoni mwa "mauozo" machache: 1. Kiwanja kimoja kumilikishwa kwa watu zaidi ya mmoja 2. Wamiliki halali wa rdhi kupokonywa maeneo yao kinyemela 3. Shamba au kiwanja kimoja kuuzwa kwa zaidi ya mtu mmoja. 4. Watu kuuziwa mashamba/viwanja hewa Wauzaji wa viwanja hewa, kwa mfano...
  6. je parle

    Tanga ni kama haina serikali kabisa, matapeli wa viwanja wanafanya wanavyotaka kwa kujitapa kuwa hakuna wa kuwatia nguvuni

    Nina andika kwa masikitiko makubwa huu mji wa tanga umekuwa wa hovyo mno .As if if hakuna serikali inayofanya kazi zake kwa weledi. Hii mata ya changani kuna huyu mwenyekiti anaitwa masumbuko sijui aliwezeje kukalia kiti cha kuwa mwenyekiti. Yan hana weledi alafu ni tapeli na nusu wao pamoja na...
Back
Top Bottom