Baada ya kuufuatilia mgogoro wa Mashariki ya Congo-DRC sasa ninaweza kusema mgogoro huo umegawanyika katika robo nne.
1. Robo ya kwanza ni siasa kabisa-hapa kuna tatizo la siasa za uraia wa mipakani, ukabila na genocide ya Rwanda. Hili tatizo ni la muda mrefu tangu uhuru, limezungumziwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.