matatizo ya ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Nimegundua kwamba mabinti waliosoma au kuishi Ulaya / Marekani wakirudi Tanzania wana kiwango kikubwa cha matatizo ya ndoa

    Kutoolewa na wachumba wao, Ni kweli huwa wamo kwenye mahusiano lakini wanaume wanakwepa mno kuwaoa. Kuchelewa kuolewa, Ndoa kudumu muda mfupi, hapa mara nyingi sababu huwa ni mwanamke kutaka kuleta mambo ya usawa ule wa ulaya, mfano mwanaume ajipelekee maji ya kuoga bafuni, ajitengenezee chai...
  2. Mtoto wa nzi

    Maumivu ya Usaliti: Safari yangu ya kutafuta amani baada ya miaka 12 ya ndoa

    Ikumbukwe, nimeanzisha nyuzi kadhaa kuhusu mimi na mke wangu mpaka ikafika hatua ya kumwachia nyumba (nyumba niliyojenga kabla ya kumuita na kumtafutia kazi). Uzi upo humu. Hata niliporudi, sikuwa nalala naye, ingawa hamu zilikuwepo. Tulipima, na alijuta, akijua kosa lake. Hata kama alikuwa na...
Back
Top Bottom