Rais Samia amesema suluhu ya Tatizo la umeme itapatikana April 2024 baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere kuzalisha umeme wa Megawatt.470-500
Mambo mazuri yanakuja tuwe na subira
---
Rais Samia Suluhu Hassan amesema tatizo la upungufu wa umeme litakwenda kupata suluhu yake mwezi April mwaka huu...
bwawa la nyerere
matatizoyaumemekuisha
mgao kuisha
mradi bwawa la nyerere
rais samia
suluhu yaumeme
tanesco
ujenzi bwawa la nyerere
umeme tanzania
uzalishaji umeme