mate

Mate or maté, ('mat̪e) maté being the French spelling indicating a voiced final e, also known as chimarrão or cimarrón, is a traditional South American caffeine-rich infused drink. It is made by soaking dried leaves of the holly species Ilex paraguariensis in hot water and is served with a metal straw in a container typically made from a calabash gourd (the mate proper), but also in some areas made from a cattle horn (guampa).
Mate was consumed by the Guaraní and Tupí peoples. It has been drunk in South America since before the arrival of Europeans. Its consumption was exclusive to the natives of two regions of the territory that today is Paraguay but that before was named United Provinces of the Río de la Plata (now Argentina), more specifically the departments of Amambay and Alto Paraná. Some ethnic groups that consumed it are the Avá, the Mbyá and the Kaiowa, and also, to a lesser extent, other ethnic groups that carried out trade with them, such as the ñandevá, the Taluhets (ancient pampas) and the Qom (Tobas). It is the national beverage of Argentina, Paraguay and Uruguay and is also consumed in the Bolivian Chaco, Northern and Southern Chile, Southern Brazil, Syria (the largest importer in the world) and Lebanon, where it was brought from Paraguay and Argentina by immigrants.Yerba mate (Ilex paraguariensis), ka'a in the Guarani language, contains (among other compounds) the stimulant caffeine. The leaves are dried and chopped or ground to make the coarse powdery preparation called yerba (meaning 'herb'), which is then soaked in hot water.
The metal straw is known as a bombilla or bomba and is traditionally made of silver. Modern straws are typically made of nickel silver, stainless steel, or hollow-stemmed cane. The bombilla functions both as a straw and as a sieve. The submerged end is flared, with small holes or slots that allow the brewed liquid in, but block the chunky matter that makes up much of the mixture. A modern bombilla design uses a straight tube with holes or a spring sleeve to act as a sieve.The container the mate is served in is also known as mate. It is commonly made from calabash gourd but may also be made out of other materials.
Today, mate tea is sold commercially in tea bags and as bottled ice tea.

View More On Wikipedia.org
  1. Magical power

    Kitu ya kitimoto na ndizi

    Unaangusha mate ukiwa wapi😁😅😅😅😅😅😅
  2. LA7

    Tulitumia mate kujua mifugo ilipo

    Sasa sijui ilikuwa ni Imani tu au lah! Ukipoteza mifugo hasa porini unaweka mate kwenye kiganga Cha mkono Kisha unayachapa kwa kidole yanaruka yatakaporuka mengi ndo huko huko inaelekea. Ili kuhakikisha unageuka pande mbili mashariki na kaskazini au kusini unarudia kila upande unachapa Mara...
  3. Chief Kumbyambya

    Huyu muhudumu wa kaunta ni kama ananimezea mate

    Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena...
  4. Rorscharch

    Wakatoliki mnaokimbilia kwa haya makanisa ya kinabii, njooni hapa turudishane njia kuu

    Ndugu zangu, majirani zangu, wana parokia wenzangu, na wanajumuiya wenzangu, ni wazi kuwa tunapitia changamoto nyingi zinazoweza kutufanya tuishi kwa kutetereka kiimani. Vishawishi vya dunia ya sasa vinatufanya kupoteza dira, huku tukishawishiwa kuamini kwamba suluhisho la changamoto zetu lipo...
  5. M24 Headquarters-Kigali

    "Weka mate niteleze" inavyoeneza UKIMWI

    1. Hii kauli mbiu imemaliza vijana wengi Sana maeneo ya Vijijini na visiwa vya ziwa victoria ambako Kondom ni adimu Sana. 2. Kavu sio mpango
  6. M

    If you really want to attract a high-quality mate in life, say goodbye to these 8 behaviors

    Attracting a high-quality mate isn’t about luck or beauty – it’s about the behaviors you exhibit. Certain actions can drive the right people away, while others act like a magnet, pulling them in. That’s why it’s important to understand which behaviors to ditch if you want to attract a...
  7. S

    Baada ya kukosa wenza wa ndoto zao, wengi wa waliopo kwenye ndoa waliamua kujilipua kwa kuishi na "ili mradi ni mke/mume"

    Tafiti zinaonesha kuwa ni 2% tu ya waliopata wenza wa ndoto zao. 98% mmoja au wote 2 wanaishi na "ili mradi ni mke/mume", baada ya kukosa kwa sababu mbalimbali ywale waliowatarajia akilini mwao . Wengi walitaka kumpata mwenzao mwenye package hii: msomi, tajiri, mrefu, mweupe, umbo namba 8...
  8. USSR

    Wanawake, eti ni kweli hamtaki kuwekewa ulimi masikioni eti tunawajaza mate masikioni

    Ni swali tu nimeuliza maana mnasema tunawajaza mimate masikioni tu hakuna ashki masikioni USSR
  9. GENTAMYCINE

    Wangapi hapa JamiiForums tulikuwa tunamjua huyu Nyoka HATARI asiyeuma, ila anatema Mate yenye Sumu aitwae Fira?

    Mwenye Kamusi mpya kabisa ya maneno mapya ya Kiswahili Fasaha ya TUKI aende katika Ukurasa wa 126 akamjue huyo Nyoka HATARI kabisa aitwa Fira. Nyoka Fira hatari acheni masihara.....!!
  10. covid 19

    Kuna mmama alikuwa ananiangalia sana hadi nikajishtukia, nilipomchunguza vizuri nikagundua ni class mate wangu

    Hawa wenzetu wanazeeka haraka sana jamani jana nilikuta na class mate wangu ila ilikuwa ngumu sana kumgundua hadi nilipo mchunguza kwa makini ndio kuja kugubdua ni class mate wangu wa sekondari 2006 2010 ila ni mmama kabisa yaani yule after 4 to 5 atakuwa na wajukuu kabisa. Sasa kuna rafiki...
  11. Pdidy

    R.I.P rafiki yangu (Class mate) leo umetimiza miaka kadhaa

    Ni class mate wangu Allah ampungizie adhabu ya kaburi Baada ya miaka kadhaa kuachana toka shule tukakutana nae aport akisafiri kwenda Kigoma m nakwenda Arusha Kaka akaniambia nw n mheshimiwa anaenda kuwa hakimu huko Kigoma Kiutani nkakuta namtania mkuu uwe makini yale maeneo sio elekezi...
  12. S

    Tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani inanikera sana

    Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana, Wachezaji wenyewe ndio...
  13. VanDon

    Mate yasitumike kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa

    Msitumie mate wakati wa tendo la ndoa "Sio salama kutumia mate kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa kwa sababu kuna vijidudu ambavyo vipo katika mate, kwa hiyo vinatakiwa vikae huko huko havitakiwi kuhamishwa sehemu nyingine. Ukivipeleka sehemu za siri unaweza kusababisha changamoto...
  14. cold water

    Mate kuruka kwasababu ya chakula kitamu

    Nimehaibika Leo ikabidi niache kuendelea kumkaribisha mgeni,nilitembelewa na mgeni Leo nikasema nipike ugali wa kutosha ni work mate wangu ,nikapika ugali na dagaa. Dagaa nilizikaanga tu na kuzitia limao nikatenga chakula ile kuanza kula mgeni akawa ananipigisha story nikawa namsikiliza huku...
  15. Mhaya

    Wayahudi 5 wakamatwa baada ya kutemea Wakristo mate huko Israel

    Polisi Jumatano waliwakamata Wayahudi watano wa Orthodox kwa tuhuma za kuwatemea mate waumini wa Kikristo katika Jiji la Kale la Jerusalem, huku kukiwa na ongezeko la matukio yanayowalenga makasisi na mahujaji katika mji mkuu. Wakati huo huo, Waziri wa Usalama wa Kitaifa Itamar Ben Gvir...
  16. Elon J

    Mate kujaa mdomoni, tena yenye harufu mbaya wakati wa kuamka asubuhi husababishwa na nini?

    Jamani wataalam au mtu anayejua hili tatizo la Kujaa Kwa mate mdomo wakati wa kuamka asubuhi, tena haya mate Huwa yanatoa harufu mbaya mno, muda mwingine hata mchana tu nikilala sana, nikiamka tu nakuta mate yamejaa mdomon sijui shid ni nini. Wataalam au wenye kujua hili tatizo jaman🙏
  17. Suley2019

    SI KWELI Mapovu yanayokuwa kwenye mimea mbalimbali porini au vichakani ni mate ya nyoka

    Tangu nikiwa mdogo nilisikia na kuamini kwamba ute/ mapovu yanayokuwa kwenye mimea ni mate ya nyoka. Mpaka kufika wakati huu bado sijajua kama suala hili lina ukweli ama la. Naomba wataalamu mnisaidie kujua uhalisia wa jambo hili Kielelezo 1: Picha ikionesha mmea umeachiwa mapovu Kielelezo...
  18. sky soldier

    Uliwahi kuishi chumba, hostel au nyumba moja na room mate ambae si muungwana, weka kisa chako hapa

    Oh my God, mbwa anaingia na kutoka nyumba tunayoishi, room mate kamleta mbwa mdogo wa kucheza nae, shughuli si ndogo hii!! kuna muda tulienda kikazi mkoa x kwa miezi mitatu, niliishi na jamaa anapenda sana mbwa, siku ya pili kaleta ki puppy kimbwa kidogo anakijali kama mtoto wake vile, kucheza...
  19. Superbug

    Mwanamke anaanza kutema mate baada ya mimba kuingia?

    Kuna mwanamke hapa naona kama ameanza kutematema mate na nimekutana nae wiki hiihii na ofkoz ndio alikuwa kwenye tarehe za kutiwa mimba sasa hapa nisaidieni kinadada.
  20. F

    MSAADA: Baada ya kutumia dawa ya Pregabalin(ligaba), natokwa na mate Kama manyunyu napozungumza na watu, nifanyeje?

    Sijui hata nifanyeje? Nilipata tatizo la ganzi mwilini, nikatumia vodonge vya Pregabalin miezi minne. Sasa kila nikiongea na watu nawarushia mate Kama manyunyu yanapuliza. Sasa watu hunikwepa au kuweka mikono usoni na mdomoni kwa tahadhari. Sikuwa na hili tatizo kabla. Je nifanye nini...
Back
Top Bottom