mateka hamas

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Hamas yakubaliana na agizo la Trump. Yatangaza kuachilia mateka wengine 3 siku ya Jumamosi

    Hamas imetangaza Alhamisi kuwa itawaachilia huru mateka watatu wa kutoka Israel kama ilivyopangwa. Awali, Hamas ilikuwa imetishia kuchelewesha kuachiliwa kwa mateka, ikidai Israel haijatimiza makubaliano ya kupeleka mahema, hifadhi, na misaada mingine. Israel, ikisaidiwa na Rais wa Marekani...
  2. PureView zeiss

    Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

    Rais wa Marekani Donard Trum amesema kuwa endapo hadi kufika Tarehe 15 Febuari siku ya Jumamosi saa sita mchana mateka wa Israel waliotekwa na Hamas hawajaachiwa kutatokea athari kubwa. Trump akizungumza Washngton jana tarehe 10 Februari 2025 alipokuwa akiongea na waandishi wa habari. Trump...
Back
Top Bottom