Wakuu,
Nimekuja na swali hili baada ya jamaa mmoja kusema jambo hili sio la kweli, lakini mimi pia nimeshawahi sikia hii, bi mkubwa alituhadisia kuna ndugu yao mmoja aling'atwa na mbwa mwishowe alipokaribia kwenda kwenye ulimwengu mwingine alikuwa akibweka kama mbwa. Naamini hata wewe unayesoma...
Kichaa cha mbwa ni maambukizi makali ambayo huathiri ubongo na mfumo wa neva. Inaweza kuwa mbaya ikiwa haitatibiwa kwa wakati. Kwa hivyo, watu walio katika hatari kubwa ya kuambukizwa kichaa cha mbwa wanapewa chanjo ya kichaa cha mbwa ili kuwalinda dhidi ya maambukizo yoyote yanayoweza kutokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.