matokeo 2024

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DaudiAiko

    Je, takwimu za ufaulu wa mitihani ya kidato cha nne zinaelezea kuhusu uwezo wa wanafunzi kwenye masomo yao?

    Wanabodi, Tupo katika kile kipindi cha mwaka ambacho kama kawaida, tuna rubuniwa kwa maneno matamu. Maneno matamu yanayoweza kutoa nyoka zaidi ya kumi pangoni. Ni kweli, hakuna marefu yasiyo na ncha na ukiona vya elea basi ujue vimeundwa. Fahamu kwamba takwimu zozote zile zinaweza kutafsiriwa...
  2. Mparee2

    Natoa pendekezo matokeo ya kuanzia shule za msingi hadi A - LEVEL yawe kwa mfumo unatumika kwenye matokeo ya darasa la saba

    Matokeo ya Darasa la saba hupangwa kwa Mkoa/wilaya kitu ambacho ni kizuri na hata mtu akitaka kuperuzi shule za Wilayani kwake anaweza kuziona zote kwa urahisi. Au pengine waweke option ya kufilter, mtu akitaka shule za Mkoa X, au Wilaya Y, shule za wasichana, Wavulana, Shule za ufundi, shule...
  3. ARMs14

    Matokeo ya darasa la Saba kwa Mwaka 2024 yatoka, ufaulu wapanda kwa asilimia 0.29

    Wakuu matokeo ya mtihani wa darasa la vii kwa mwaka 2024 yametoka. Matokeo ya Darasa la saba yatangazwa leo Oktoba 29, 2024 yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Necta Dkt. Said Ally, ambapo watahiniwa 974,229 kati ya wanafunzi 1,230,774 waliosajiliwa kufanya mtihani wamefaulu...
Back
Top Bottom