Hii ni kwa wale watu wabishi wabishi hata kwenye Jambo la msingi yeye anataka kukwamisha. Unakuta mtu kafanya jambo lake analifurahia atatokea mtu tu kuhakikisha anakuliza.
Hawa watu tunaishi nao Kazini,nyumbani, Shuleni kwenye Biashara. Hakikisha unawakwepa au unawazoea watu kama hao.
Unakuta...
Mbolea gani nzuri ya kukuzia niweke kwenye mpunga Wangu mpaka Sasa tangu kupandwa una Siku 45 itafaa kuleta matokeo chanya ya mavuno mazuri shambani wakulima wazoefu wa kutumia mbolea naomba muongozo
Viongozi wetu wamekuwa wakifanya mabadiliko mbali mbali katika sekta hadhimu ya elimu,mabadiliko hayo kwa namna fulani tumeona yakileta matokeo mazuri.
Pia matokeo hayo ni jitihada zilizochukuliwa na baadhi ya waasisi wetu.
Tuna vyuo vya ufundi stadi yaani (vocational and training centre) na...
Ndugu zangu Watanzania,
Kujenga chama, kueneza chama ,kuongeza wanachama na wafuasi,kupata kura za ndio kutoka kwa watu inahitaji akili, umakini,sera,ajenda zenye kugusa maisha ya watu. Inahitaji kuwa na sera mbadala zidi ya yule aliyepo madarakani,inahitaji ushawishi wa hoja nzito na sera...
Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta ya afya, hususan katika huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi. Huduma hizi zinahusisha upasuaji wa moyo, upandikizaji figo, upandikizaji uroto, upandikizaji mimba, matibabu ya saratani kwa mionzi, na nyinginezo. Maendeleo haya yanachangiwa na...
akili mnemba
bima ya afya kwa wote
gharama za matibabu
hifadhidata
matibabu ya kibingwa
matokeochanya
suluhisho
takwimu za afya
tanzania
wizara ya afya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.