Murtaza Mangungu ameshinda katika Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kwa kupata kura 1,311 akimshinda Moses Kaluwa kwa tofauti ya kura 266 huku kura 7 zikiharibika.
Walioshinda nafasi ya ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ni;
1.Dr Seif Ramadhan Muba - kura 1636
2.Asha Baraka - kura 1564
3.CPA Issa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.