Mpaka Muda huu saa 10 na nusu jioni siku ya pili ya uchaguzi hapa kijijini kwetu kikunja Halmashauri ya wilaya Songea hatujabandikiwa matokeo ya uchaguzi kwa ngazi ya wenyeviti wa vijiji.
Kila kituo ninachotembelea wamebandika matokeo ngazi ya vitongoji tu kulikoni? Au Kura hazijatosha maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.