Salaam, Shalom!!
Takwimu za sensa iliyofanyika mwaka 2022 inasema Tanzania yetu wanaume na wanawake idadi Yao ni sawa Kwa asilimia, ingawa katika namba, inaonyesha wanawake wamewazidi wanaume Kwa 46,000.
Takwimu za mwaka 2022 zinasema jumla kuu ya population ni 67,760,837.
Wanaume-...