Ugonjwa wa Polio husababishwa na virusi vya Polio, ambavyo huenezwa kwa njia ya kula na kunywa maji yaliyochafuliwa na kinyesi chenye vimelea vya ugonjwa.
Ugonjwa huu unaweza kuwapata watu wa rika zote lakini watoto wenye umri wa chini ya miaka 5 ndiyo wanaoathirika zaidi.
Hushambulia mishipa...